Tarehe 20 Aprili, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Concordia Prof. Tim Loreman ametembelea Chuo Kikuu cha BFSU. Mkuu wa BFSU Prof. Jia Wenjian amekutana na wageni. Wamezungumza kuhusu kuimarisha ushirikiano wa kitaaluma, utafiti n.k.